Dvoicer: DULLY JOKATE NA AY MAPENZI NI SUMU
"nimeamu kumshirikisha Joketi kwasababu nimegundua ni muimbaji na pia ni mrembo anaeweza kuvutia watu wengi sana, wakubwa wadogo na wa rika zote, sababu tayari ameshajitengenezea CV nzuri, na Ay ni mwanamziki ambae ameshafanya na wanamziki wengi sana wa nje, mziki wangu unaweza kufika mbali, hata akimfungua AY ataona na video niliyofanya nae na itaweza kufika mbali.
No comments:
Post a Comment