Staa wa Bongo Movies, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’amefunguka na kusema
wazi kuwa anampenda staa mwenzake, Mwisho Mwampamba kwa kile alichodai
kuwa ana roho nzuri, na kusisitiza kuwa kwa sasa yeye hana mahusianao ya
mwanaume wa kitanzania na ieleweke hiyo.
Kabula aliyasema hayo kupitia ukurasa wake mtandaoni mara baada ya kubandika picha ya Mwisho.
“Wee ndo mchizi wangu jambazi wangu nakupendaga tu kwa roho yako mzungu
wangu ndo vile ukiibukaga Tanzania nakuwaga happy....sihitaji fununu
bandugu nishasema sina mahusiano na mwanaume wa kitanzania maana kama
nawaona mtavyo taka kuyabadirisha....kichwa cha habari jini kabula
ajiweka kwa MWISHO hiyo kesi mtaijibu wenyewe kwa mkewe..” –Kabula
aliandika.
No comments:
Post a Comment